TUTAWEZAJE KUMZALIA MUNGU MATUNDA?
Kuna hatua za kupitia, ambazo ni lazima kila mkristo azipitie ili aweze kumzalia Bwana matunda, Bwana alizifananisha hatua hizi na ule mfano wa MPANZI; Tukisoma Mathayo 13:2-9 ” Wakamkusanyikia makutano mengi, hata akapanda chomboni, akaketi; na ule mkutano wote wakasimama pwani. 3 Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema, Tazama, mpanzi alitoka kwenda kupanda. 4 Hata … Continue reading TUTAWEZAJE KUMZALIA MUNGU MATUNDA?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed