JE! UMEPOKEA KWELI ROHO MTAKATIFU?
Kuna tofauti kati ya UBATIZO wa Roho Mtakatifu na UPAKO wa Roho Mtakatifu. Watu wanachanganyikiwa wakidhani kuwa na upako, au nguvu za Roho Mtakatifu, ndio Umebatizwa na Roho Mtakatifu. Lakini hii sio kweli, mtu anaweza kuwa na upako wa Roho Mtakatifu, akaponya magonjwa, akafufua wafu, akanena kwa lugha, akaona maono, akatabiri au kuota ndoto na … Continue reading JE! UMEPOKEA KWELI ROHO MTAKATIFU?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed