NAFASI YA MWANAMKE KATIKA KANISA
Nafasi ya mwanamke katika kanisa ni ipi? Je anaruhusiwa kuwa mchungaji, au askofu? Mtume Paulo alisema,.. 1Wakoritho 14;34 “Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa. Au … Continue reading NAFASI YA MWANAMKE KATIKA KANISA
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed