MADHARA YA KUKOSA MAJI YA UZIMA BAADA YA KIFO.

Mwanadamu kaumbwa kwa vitu viwili: MWILI na ROHO, Na kila upande una namna yake ya kutunzwa, na namna yake ya kuangamizwa, kila kimoja kina namna yake ya kupata uzima, na namna yake kupata mauti. Kwamfano mwili unatunzwa kwa vyakula vya kimwilini, na maji ya kimwilini, vivyo hivyo unaharibiwa kwa vitu vya kimwili, mwili ukikosa chakula … Continue reading MADHARA YA KUKOSA MAJI YA UZIMA BAADA YA KIFO.