Je! Umefunuliwa akili?..Baada ya Bwana Yesu kufufuka, tunasoma habari ya vijana wawili waliokuwa wanaenda kijiji kimoja kilichopo mbali kidogo na mji wa Yerusalemu, na walipokuwa njiani wakizungumza habari za kufufuka kwa Bwana biblia inatuambia Bwana wenyewe aliungana nao pasipo hata wao kujua, kwani macho yao yalifumbwa wasimtambue lakini baadaye mwisho wa safari yao walikuja kumtambua..tunasoma … Continue reading UMEFUNULIWA AKILI?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed