Shalom mwana wa Mungu, karibu tujifunze habari njema za Yesu Kristo ziletazo tumaini la maisha yetu ya sasa na ya baadaye. Leo tutajifunza habari za mtu mmoja anayeitwa Yabesi, Pia tutaona jinsi alivyomwomba Mungu kwa bidii na dua yake kusikiwa. Habari hizo tunazisoma katika kitabu cha 1Nyakati 4:9-10, Tusome. “Naye Yabesi alikuwa mwenye heshima kuliko … Continue reading MAOMBI YA YABESI.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed