VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 2

Karibu katika mwendelezo wa kujifunza vitabu vya biblia. Kwa ufupi tumeshapitia vitabu vinne vya kwanza yaani kitabu cha Mwanzo, kutoka,Mambo ya Walawi na Hesabu na leo Kwa Neema za Bwana tutasogea mbele na vitabu vingine vinne vinavyofuata. 5) KUMBUKUMBU LA TORATI: Kitabu hichi cha kumbukumbu la torati kiliandikwa na Musa, katika hatua za mwisho kabisa … Continue reading VITABU VYA BIBLIA: Sehemu ya 2