Naomba kujua watakaoenda mbinguni je! ni wengi au wachache?
JIBU: watakaoenda mbinguni je! ni wengi au wachache?..Ni swali ambalo halikuulizwa tu na watu wa kipindi cha Bwana Yesu pekee lakini hadi sasa swali hilo linaulizwa na wengi.. Tukisoma Luka 13:23 ″Mtu mmoja akamwuliza, Je! Bwana, watu wanaookolewa ni wachache? Akawaambia, 24 Jitahidini kuingia katika MLANGO ULIO MWEMBAMBA, kwa maana nawaambia ya kwamba wengi … Continue reading Naomba kujua watakaoenda mbinguni je! ni wengi au wachache?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed