Je, kama hauna ubatizo sahihi hauwezi kuwa na Roho Mtakatifu?
JIBU: Utendaji kazi wa Roho Mtakatifu ni kama ufuatavyo, Mungu anapomchagua mtu aliye dhambini, huwa anamtumia Roho wake mtakatifu kumvuta mtu yule ndio hapo mtu huyo anaanza kusikia kuhukumiwa dhambi zake moyoni, na hatimaye anafikia toba, sasa huyo ni Roho Mtakatifu siku hizo zote anakuwa anamvuta mtu yule, anakuwa anatembea na yule mtu kama rafiki yake wa … Continue reading Je, kama hauna ubatizo sahihi hauwezi kuwa na Roho Mtakatifu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed