Je! mbinguni kuna malaika wa kike?. Na je! tukifika mbinguni tutafanana wote?
JIBU: Neno jinsia kwa mara ya kwanza limeonekana kwa wanadamu, Pale Mungu alipomtoa Hawa ubavuni mwa Adamu na kumwita jina lake mwanamke, hapo ndipo jinsia mbili zilipozaliwa yani ya kike na ya kiume, Hapo kabla Adamu alikuwa ni mwanadamu mwenye maumbile yote ndani yake, yaani ya kike na ya kiume,sasa siku alipotolewa ubavu wake, ile sehemu … Continue reading Je! mbinguni kuna malaika wa kike?. Na je! tukifika mbinguni tutafanana wote?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed