Tofauti kati ya Myunani, Farisayo na Sadukayo ni ipi?
JIBU: Mafarisayo na Msadukayo chimbuko lao ni moja dini zao zimeegemea katika Torati ya Musa, wote hawaamini maagizo mengine nje ya torati isipokuwa tofauti inakuja katika kuamini kiama cha wafu.. Mafarisayo wanaamini kuwa kuna kiama cha wafu (yaani maisha baada ya kufa, wanaamini yote yaliyoandikwa katika torati hata tumaini ya kuja kwa Masihi duniani) lakini masadukayo … Continue reading Tofauti kati ya Myunani, Farisayo na Sadukayo ni ipi?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed