Wapunga Pepo wanaozungumziwa kwenye biblia ni watu wa namna gani?

SWALI: Tukisoma Matendo 19:13 Inasema pale “Baadhi ya Wayahudi wenye kutanga-tanga, NAO NI WAPUNGA PEPO….” swali,Naomba kufahamu hawa Wapunga Pepo ni watu wa aina gani ndugu zangu? JIBU: Tafsiri ya Neno kupunga pepo ni “kufukuza pepo”…hiyo ni lugha iliyotumika katika tafsiri yetu ya Kiswahili inayosimama badala ya kufukuza pepo…Kwahiyo zamani na hata sasa zilikuwepo njia nyingi za kuondoa … Continue reading Wapunga Pepo wanaozungumziwa kwenye biblia ni watu wa namna gani?