SWALI: Bwana wetu YESU ametuahidi tumuombe jambo lolote lile KWA JINA LAKE YESU naye atalifanya..Mahali pengine anatuambia maombi yetu Watakatifu ni harufu nzuri ya manukato mbele zake..(Sasa mfano mimi nanyi tunaye rafiki yetu mpendwa amefariki na kila siku tulikuwa tukimuomba Mungu amkumbuke kwenye ufalme wake wa mbinguni,unajua hili lipo ndani ya karibu binadamu wote kwamba … Continue reading Je! kuna ubaya wowote kuwaombea ndugu zetu waliokufa katika dhambi, Mungu awakumbuke katika ufalme wa mbinguni?.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed