Kama mkristo ili uweze kuenenda kikamilifu katika safari yako ya wokovu hapa duniani bila dosari zozote zisizokuwa na sababu, ipo mistari miwili ya kuzingatia.. Wa kwanza ni huu: Wakolosai 3:17 “Na kila mfanyalo, kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba kwa yeye”. Na wa pili ni huu … Continue reading Je ni dhambi kuangalia movie?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed