SIKU ILE NA SAA ILE.

Bwana Yesu alisema sehemu fulani maneno haya ” walakini siku ile na saa ile”..akiwa na maana kuwa Kuna siku inayokuja huko mbeleni, yenye Tarehe yake na mwezi wake, na mwaka wake. Siku hiyo itaitwa tarehe Fulani ya Mwezi Fulani na mwaka Fulani. Siku hiyo upande mmoja wa dunia utakuwa ni mchana na mwingine usiku, siku … Continue reading SIKU ILE NA SAA ILE.