USIZITEGEMEE NGUVU ZAKO KUKUSAIDIA!

usizitegemee nguvu zako kukusaidia katika jambo lolote! Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu ambalo ni Taa iongozayo miguu yetu na mwanga wa njia zetu (Zab.119:105). Leo tutajifunza kwa ufupi, ni jinsi gani Bwana hapendezwi na sisi kuzitegemea nguvu zetu wenyewe, au kuwategemea wanadamu katika matatizo yanayotukabili. Au kutegemea vitu … Continue reading USIZITEGEMEE NGUVU ZAKO KUKUSAIDIA!