MWANANCHI WA UFALME WA MBINGUNI

Mwananchi ni mtu aliye na uraia wa Nchi fulani. Kwamfano mtu aliyezaliwa Taifa la Tanzania ni mwananchi wa Tanzania, Kadhalika lipo Taifa la kimbinguni..Na hilo yeyote anayezaliwa katika Taifa hilo anaitwa Mwananchi wa Taifa la Mbinguni..Na kila mwananchi analindwa na katiba. Biblia inasema katika.. 1Petro 2:9 “Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, Taifa … Continue reading MWANANCHI WA UFALME WA MBINGUNI