Yule aliyemzuia Yohana asimsujudie alikuwa ni Mwanadamu au Malaika?

Yule aliyemzuia Yohana asimsujudie katika Ufunuo 19:10 alikuwa ni nani, Je! ni Mwanadamu au Malaika? JIBU: Tusome… Ufunuo 19: 10 “ Nami nikaanguka mbele ya miguu yake, ili nimsujudie; akaniambia, Angalia, usifanye hivi; mimi ni mjoli wako na wa ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Msujudie Mungu. Kwa maana ushuhuda wa Yesu ndio roho … Continue reading Yule aliyemzuia Yohana asimsujudie alikuwa ni Mwanadamu au Malaika?