USILETE UJIRA WA KAHABA, NYUMBANI KWA MUNGU.

Usilete ujira wa kahaba, nyumbani kwa Mungu. Shalom, Jina la Bwana Yesu Kristo libarikiwe. Karibu tujifunze Maandiko.. Kuna mambo ambayo unaweza kuyasema ukadhani hayapo kabisa kwenye biblia..Lakini yapo!…Na kuna mambo machache yanayopuuziwa na wengi..lakini ni ya kuzingatia sana tunapomkaribia Mungu..Kitu kimoja ambacho wengi hawajui ni kwamba Mungu wetu tunayemwabudu hachangamani na uchafu…Mtu yeyote Yule aliye … Continue reading USILETE UJIRA WA KAHABA, NYUMBANI KWA MUNGU.