TUMTOLEE MUNGU VILE VINAVYOTUGHARIMU ZAIDI.
Tumtolee Mungu vitu vinavyotugharimu hata kuhatarisha maisha…2Samweli 23:15 Daudi akatamani, akasema, Laiti mtu angeninywesha maji ya kisima cha Bethlehemu, kilicho karibu na lango! Shalom, Jina la Bwana Yesu libarikiwe. Ni siku nyingine tumepewa neema ya kuiona, hivyo nakukaribisha tushiriki pamoja kujifunza maneno matakatifu ya Mungu. Leo kwa ufupi tutaichunguza habari moja inayotoka katika kitabu kile … Continue reading TUMTOLEE MUNGU VILE VINAVYOTUGHARIMU ZAIDI.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed