MUNGU AKIKUPITA LEO, HAIMAANISHI KUWA HAJAKUCHAGUA.

Shalom, Jina la Mfalme mkuu Yesu Kristo libarikiwe. Nakukaribisha katika kuyatafakari maandiko, Kama vile Paulo alivyomwambia Timotheo “Hata nitakapokuja, ufanye bidii katika kusoma..”(1Timotheo 4:13)..Nasi pia tunapaswa tuonyeshe bidii hiyo hiyo katika kusoma Neno la Mungu kwasababu kila siku yapo mambo mapya Mungu anahitaji tuyaone. Hivyo, leo tutajifunza juu ya mtume mmoja wa kipekee kidogo anayeitwa … Continue reading MUNGU AKIKUPITA LEO, HAIMAANISHI KUWA HAJAKUCHAGUA.