NDUGU,TUOMBEENI.

Ukiangalia ujenzi wa kwanza wa hekalu na ule wa pili utaona kuna utofauti fulani, Kwanza ule wa kwanza uliojengwa na mfalme Sulemani, ulikuwa ni wa utajiri mwingi, ambao ulikuwa tayari umeshakusanywa na Daudi baba yake Sulemani huko nyuma, pili ulikuwa ni wa amani, na utulivu, kiasi kwamba hata siku ile unapokamilika hakukusikika kelele wala sauti … Continue reading NDUGU,TUOMBEENI.