MAONO YA NABII AMOSI.

Shalom mwana wa Mungu, karibu tujifunze tena maneno ya uzima. Amosi 3:7 “Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lo lote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake”. Maneno haya aliyaandika nabii Amosi..Alisukumwa kuandika hivyo, mara baada ya Mungu kumwonyesha mambo ambayo yalikuwa yanakwenda kuipata nchi ya Israeli katika wakati wake aliokuwa anaishi, pamoja na yale ambayo … Continue reading MAONO YA NABII AMOSI.