Je! Ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena?
SWALI: Naomba kufahamu Je! Ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena, tunaopaswa tuwe nao ni ule wa Roho Mtakatifu tu peke yake kama vile Yohana Mbatizaji alivyosema katika Mathayo 3:11 “Kweli mimi nawabatiza kwa maji kwa ajili ya toba; bali yeye ajaye nyuma yangu ana nguvu kuliko mimi, wala sistahili hata kuvichukua viatu vyake; yeye … Continue reading Je! Ni kweli ubatizo wa maji hatuuhitaji tena?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed