NINI KINAFUATA SIKU ILE ILE YA KUOKOKA!

Ni nini kinafuata siku ile ya kuokoka!? Ni swali linaloulizwa na wengi… Shalom.Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe…Karibu tujifunze Biblia, Neno la Mungu ambalo ni mwanga wa njia zetu na Taa ya miguu yetu. Watu wengi wanajiuliza ni nini kitafuata baada kumpokea Yesu, Nimeshatubu ndio! Je ni nini kinafuata baada ya hapo ili niendelee … Continue reading NINI KINAFUATA SIKU ILE ILE YA KUOKOKA!