Nini maana ya “Siku moja nyuani mwa Bwana ni bora kuliko siku elfu”?
SWALI: Naomba kufahamu maana ya Neno hili, maana huwa nalisoma silielewi.. (Zaburi 84:10 “Hakika siku moja katika nyua zako Ni bora kuliko siku elfu. Ningependa kuwa bawabu nyumbani mwa Mungu wangu, Kuliko kukaa katika hema za uovu”) . JIBU: Maana yake ni kuwa ukitumia siku yako moja kikamilifu kudumu uweponi mwa Bwana, tangu jua linapochomoza … Continue reading Nini maana ya “Siku moja nyuani mwa Bwana ni bora kuliko siku elfu”?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed