Je ni wakina nani ambao hawataonja mauti mpaka siku ya kuja Bwana?
Je! Ni wakina nani hao katika (Mathayo 16:28) ambao Bwana alisema hawataonja mauti mpaka atakapokuja? JIBU: Tusome.. Mathayo 16:27 “Kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake; ndipo atakapomlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake. 28 Amin, nawaambieni, Pana watu katika hawa wasimamao hapa, ambao hawataonja mauti … Continue reading Je ni wakina nani ambao hawataonja mauti mpaka siku ya kuja Bwana?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed