Yeremia 33:3 (NIITE NAMI NITAKUITIKIA)
Katika kitabu cha Yeremia 33:3 biblia inasema maneno haya…..”Niite, nami nitakuitikia, nami nitakuonyesha mambo makubwa, magumu usiyoyajua”. Maneno haya ni Mungu aliyazungumza kwa kinywa cha Yeremia, alipokuwa katika gereza alilokuwa amefungwa, wakati huo Mji wa Yerusalemu ulikuwa umeshazungukwa na majeshi ya Nebukadneza, na ndani ya mji kuna njaa kali. Na tayari Bwana alikuwa ameshawaambia penda … Continue reading Yeremia 33:3 (NIITE NAMI NITAKUITIKIA)
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed