Nini maana ya huu mstari “sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje”
Swali: Bwana Yesu alikuwa na maana gani kusema.. “sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje”? Ni kwa namna gani atatupwa nje? Na ni kwanini atupwe nje na sio chini? JIBU: Tusome huo mstari… Yohana 12:31 “Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje. 32 Nami nikiinuliwa juu ya nchi, nitawavuta … Continue reading Nini maana ya huu mstari “sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje”
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed