KUPATA MAONO YA MBINGUNI SIO KUFIKA MBINGUNI.

Kupata maono ya mbinguni sio kufika mbinguni…ndio mwanzo wa safari. Bwana anatupenda, na wakati mwingine anawachukua baadhi ya watu (sio wote) ili kuwaonyesha mambo yaliyopo kule nyumbani, juu kwa baba yetu. Anawapeleka kuwaonyesha mambo mazuri aliyowaandalia wanawe, anawaonyesha makazi yao ya kuduma yasiyoharibika na hazina zinazowangoja kule nga’mbo ikiwa watashinda..Anawaonyesha utajiri aliowaandalia na heshima na … Continue reading KUPATA MAONO YA MBINGUNI SIO KUFIKA MBINGUNI.