Nini tofauti kati ya Husuda, faraka na uchafu?

SWALI: Husuda ni nini?, faraka ni nini? na uchafu ni nini katika biblia? JIBU: Husuda limeonekana sehemu kadhaa katika biblia na maana yake ni “WIVU”  na mtu kuwa na HUSUDA/WIVU ni Dhambi…..Ifuatayo ni baadhi ya mistari iliyozungumzia husuda. Wagalatia 5:21 “HUSUDA, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, … Continue reading Nini tofauti kati ya Husuda, faraka na uchafu?