Kwanini kabila la Dani limeondolewa kwenye Ufunuo 7?
SWALI: Hujambo ndugu.Nina ulizo kuhusu kabila 12 ya Yakobo (Israeli) katika mwanzo 49 tunaona kabila la DANI lipo, lakini katika ufunuo 7 kabila la Dani halipo badala yake lipo manase. Kwanini? JIBU: Katika kitabu cha Ufunuo sura ya 7, kabila la Dani halionekani miongoni wa watu wale watakaoitiwa muhuri siku ya mwisho ili kuiamini Injili … Continue reading Kwanini kabila la Dani limeondolewa kwenye Ufunuo 7?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed