Zile mbao mbili za mawe Musa alizoambiwa achonge zilikuwaje?

SWALI: Zile Mbao za mawe Musa alizoambiwa achonge kwa ajili ya zile amri 10 zilikuwaje?..je ni mbao za miti zilichonganyikana na mawe au zilikuwa ni kitu gani? JIBU: Neno mbao asili yake sio miti…bali ni kipande cha kitu chochote ambacho kipo bapa, ambacho kinaweza kufaa kwa matumizi mbali mbali kama uandishi au ujenzi. Umoja wa … Continue reading Zile mbao mbili za mawe Musa alizoambiwa achonge zilikuwaje?