KATIKA SIKU HIYO WATASEMA, HUYU NDIYE BWANA TULIYEMNGOJA.

Isaya 25:8 “Amemeza mauti hata milele; na Bwana MUNGU atafuta machozi katika nyuso zote; na aibu ya watu wake ataiondoa katika ulimwengu wote; maana Bwana amenena hayo. 9 Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye Bwana tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake”. Upo wakati ambao, tutamwona Kristo … Continue reading KATIKA SIKU HIYO WATASEMA, HUYU NDIYE BWANA TULIYEMNGOJA.