ALIYOKUTANA NAYO YESU, YERIKO.

Kuna watu wawili ambao tunaweza kujifunza leo katika ile safari ya Bwana Yesu kuelekea Yeriko, Biblia inatuambia kulikuwa na mkutano mkubwa wa watu waliokuwa wakimfuata, kumbuka wote hao kila mmoja alikuwa anatamani Yesu amuhudumie binafsi, walikuwa ni watu wenye matatizo mbalimbali, wengine matatizo ya familia zao, wengine biashara, wengine magonjwa, wengine walimfuata kwa lengo tu … Continue reading ALIYOKUTANA NAYO YESU, YERIKO.