Kwanini Bwana aliongea na Abramu baada ya kutengeana na Lutu?
Mwanzo 13:14 Bwana aliongea na Abramu Alipotengana na Lutu na kumpa nchi. Sasa ni kwanini aongee naye baada tu ya wao kutengana?. inamana uwepo wa Lutu ulimzuia Mungu kumpa nchi Abramu?. JIBU: Tatizo halikuwa kwa Mungu, bali kwa Ibrahimu. Yale mazingira aliyokuwa nayo Ibrahimu ndiyo yaliyokuwa kikwazo cha Mungu kuzungumza naye kwa wakati. Jambo hilo … Continue reading Kwanini Bwana aliongea na Abramu baada ya kutengeana na Lutu?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed