SHETANI ANAITHAMINI HATA MAITI YAKO.

Biblia inatupa mwangaza wa jinsi shetani alivyomaanisha kweli kuwaangamiza wanadamu japokuwa sisi hatulijui hilo.. Unaweza ukadhani siku ukifa tu, ndio basi shetani anakuwa amemalizana na wewe. Huo mtazamo ni wakuuondoa kabisa kichwani.. Embu jaribu kifirikia kile kisa cha Musa, baada ya Kufa, ni nini kilitokea baadaye?.. Utasoma kwenye kitabu cha Yuda, Malaika Mikaeli alikuwa akihojiana … Continue reading SHETANI ANAITHAMINI HATA MAITI YAKO.