Jina la Bwana wetu Yesu Kristo libarikiwe..karibu tujifunze mambo ya msingi katika safari ya haya maisha ya hapa duniani..biblia inasema dunia inapita, pamoja na tamaa zake zote, (1Yohana 2:17). Na siku ya hukumu siku moja itafika na kila mmoja atatoa habari zake mwenyewe…(Warumi 14:12). Wengi hawajui kuwa siku ya hukumu itakapofika kila mtu atasimama mbele … Continue reading UTASIMAMA PEKE YAKO SIKU ILE.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed