Kile kinara cha Taa ndani ya Hekalu la Sulemani kilikuwa kinawakilisha nini?
JIBU: Moja ya vitu vilivyokuwepo ndani ya hekalu la Mungu, ni kinara cha Taa, vingine vilivyokuwepo ni sanduku la agano, madhabahu ya dhahabu ya kuvukizia uvumba, na sanduku la agano. Sasa kama tunavyojua nyumba ikijengwa na kisha haina chanzo cha Nuru ndani yake, nyumba hiyo bado haijakamilika…Hiyo ndio maana kila nyumba ikijengwa ni lazima iwekwe … Continue reading Kile kinara cha Taa ndani ya Hekalu la Sulemani kilikuwa kinawakilisha nini?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed