MITHALI AU METHALI ZA BIBLIA

“Mithali” na “Methali” ni neno lenye maana moja.. ambalo maana yake ni kipande cha sentensi chenye kubeba ujumbe halisi wa kimaisha…Methali/Mithali zinaweza kuwa ni sentensi zenye ujumbe wa wazi au zenye ujumbe wa fumbo. Kwa mfano methali inayosema “akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli” hii ni methali iliyo wazi kabisa yenye ujumbe wa kwamba…mtu … Continue reading MITHALI AU METHALI ZA BIBLIA