KUWA MWAMINIFU KWA MANENO YAKO MWENYEWE,

Kuwa mwaminifu kwa maneno yako mwenyewe, ni muhimu sana!. Jina la Bwana wetu Yesu libarikiwe. Karibu tujifunze biblia. Mwinjilisti mmoja alichukuliwa katika maono mbinguni akakutana na Bwana Yesu, alionyeshwa mambo mengi yatakayotokea baada ya Maisha haya, kwa wema na waovu, lakini Pamoja na hayo kuna mambo mengine aliambiwa ambayo naamini leo tukiyatafakari yatatusaidia. Na jambo … Continue reading KUWA MWAMINIFU KWA MANENO YAKO MWENYEWE,