YOTE NAMTOLEA YESU_Tenzi za Rohoni.
Yote namtolea Yesu_tenzi za rohoni|Swahili hymn. Wimbo huu uliandikwa na ndugu mmoja wa kimarekani aliyeitwa Judson W. Van DeVenter, Ndugu huyu alilelewa katika mazingira ya kikristo, aliokoka akiwa na miaka 17, kuanzia huo wakati wito wa kujitoa kikamilifu ulianza kuita ndani yake,lakini bado hakufanya uamuzi huo. DeVenter alifanikiwa kusoma mpaka chuo kikuu na kutunikiwa shahaba … Continue reading YOTE NAMTOLEA YESU_Tenzi za Rohoni.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed