HIZI NI NYAKATI ZA KUJIINGIZA KWA NGUVU.

Luka 16:16 “Torati na manabii vilikuwapo mpaka Yohana; tangu wakati huo habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujiingiza kwa nguvu”. Nataka uone hicho kifungu cha mwisho, “ Na kila mtu hujiingiza kwa nguvu”.. Bwana Yesu alipotoa habari hiyo, kulikuwa na sababu kubwa kwanini alianza kwanza na habari za agano la kale(Torati … Continue reading HIZI NI NYAKATI ZA KUJIINGIZA KWA NGUVU.