Hazama ni nini katika biblia?(Ezekieli 16:12, Kutoka 24:47)

Hazama ni nini? Hazama ni pete ya puani. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Mwanzo 24:47, Kutoka 35:22, Na pia ukisoma Ezekieli sura ya 16 yote utaona jinsi Mungu anavyolilinganisha taifa la Israeli na msichana ambaye alipozaliwa tu alitelekezwa porini na wazazi wake akiwa hata hajakatwa kitovu chake. Na Bwana alipokuwa anapita (hapa akijifananisha na … Continue reading Hazama ni nini katika biblia?(Ezekieli 16:12, Kutoka 24:47)