Hazama ni nini katika biblia?(Ezekieli 16:12, Kutoka 24:47)

Hazama ni nini? Hazama ni pete ya puani. Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi; Mwanzo 24:47, Kutoka 35:22, Na pia ukisoma Ezekieli sura ya 16 yote utaon