Kuota unajifungua kuna maanisha nini? Ndoto hii inaweza ikawa na maana mbili, maana ya kwanza ambayo ninaweza kusema inawapata wengi, ni ile inayotokana na shughuli nyingi au mambo tuliyowahi kuyapitia, au kuyawaza, au kuyatenda mara kwa mara huko nyuma. Biblia inasema. Mhubiri 5:3 “Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi;…….”. Hivyo sishangai kama … Continue reading KUOTA UNAJIFUNGUA.
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed