Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kuume, maana yake nini?
SWALI: Nini maana ya huu mstari? Mhubiri 10:2 “Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kuume; Bali moyo wake mpumbavu upo mkono wa kushoto”. JIBU: Mstari huo unatuonyesha wazi kuwa kumbe moyo wa mwanadamu unao upande wa kukaa, haupo tu hewani bila una makao, ni aidha ukae upande wa mkono wa kuume, au upande wa … Continue reading Moyo wake mwenye hekima upo upande wa kuume, maana yake nini?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed