Je! ile habari ya watu wawili wenye pepo inajichanganya?

SWALI: Biblia inajichanganya yenyewe katika Marko 5:1-6 na Mathayo 8:28-31?..Kwa maana tunaona ni habari moja lakini kila moja imezungumzwa tofauti na nyingine. JIBU: Tusome Marko 5:1  “Wakafika ng’ambo ya bahari mpaka nchi ya Wagerasi. 2  Na alipokwisha kushuka chomboni, mara alikutana na mtu, ambaye ametoka makaburini, mwenye pepo mchafu; 3  makao yake yalikuwa pale makaburini; … Continue reading Je! ile habari ya watu wawili wenye pepo inajichanganya?