Masheki ni nini?(Zaburi 105:22, Ayubu 29:10)

Masheki ni watu wenye hadhi ya juu sana, wenye jina kubwa na heshima katika jamii au taifa, Neno hilo utalisoma katika vifungu hivi katika biblia; Ayubu 29:9 “Wakuu wakanyamaa wasinene, Na kuweka mikono yao vinywani mwao; 10 Sauti yao masheki ilinyamaa, Na ndimi zao zilishikamana na makaakaa yao”. Zaburi 68:31 “Masheki watakuja kutoka Misri, Kushi … Continue reading Masheki ni nini?(Zaburi 105:22, Ayubu 29:10)