Wakaldayo ni wenyeji wakongwe wa Mji wa Babeli. Mji wa Babeli ulikuwepo maeneo ya nchi ya Iraq kwasasa. Hawa wakaldayo ndio waliowachukua mateka wana wa Israeli na kuwapeleka utumwani Babeli.. Yeremia 21:8 “Nawe waambie watu hawa, Bwana asema hivi, Tazama naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti. 9 Yeye atakayekaa katika mji … Continue reading Wakaldayo ni watu gani?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed