Sodoma ipo nchi gani? Sodoma na Gomora ni miji iliyokuwa katika nchi ya Kaanani (Ambayo ndio Israeli ya Sasa). Miji hii miwili ni moja kati ya miji mitano iliyokuwa katika bonde la Yordani..mingineyo ikiwemo, ni Adma, Seboimu, na Lasha. Kama tunavyoijua habari, miji hii miwili (yaani Sodoma na Gomora) ndiyo iliyokuwa kiini cha maovu yote … Continue reading Sodoma ipo nchi gani?
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed